20 Ndipo vile vikosi vitatu vikapiga baragumu+ na kuivunja-vunja ile mitungi mikubwa na kuchukua tena ile mienge kwa mkono wao wa kushoto na zile baragumu katika mkono wao wa kuume ili kuzipiga, nao wakaanza kupaaza sauti: “Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!”