Yoshua 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo akawashusha kwa kamba kupitia dirishani, kwa kuwa nyumba yake ilikuwa upande wa ukuta, naye alikuwa akikaa ukutani.+ Matendo 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo wanafunzi wake wakamchukua na kumshusha usiku kupitia shimo ukutani, wakamshusha katika kapu.+ 2 Wakorintho 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 lakini nilishushwa kupitia dirisha ukutani katika kapu+ kubwa nami nikaiponyoka mikono yake.
15 Baada ya hayo akawashusha kwa kamba kupitia dirishani, kwa kuwa nyumba yake ilikuwa upande wa ukuta, naye alikuwa akikaa ukutani.+
25 Kwa hiyo wanafunzi wake wakamchukua na kumshusha usiku kupitia shimo ukutani, wakamshusha katika kapu.+