Yoshua 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo akawashusha kwa kamba kupitia dirishani, kwa kuwa nyumba yake ilikuwa upande wa ukuta, naye alikuwa akikaa ukutani.+ 1 Samweli 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mara moja Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, ili aende, akimbie na kuponyoka.+ 2 Wakorintho 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 lakini nilishushwa kupitia dirisha ukutani katika kapu+ kubwa nami nikaiponyoka mikono yake.
15 Baada ya hayo akawashusha kwa kamba kupitia dirishani, kwa kuwa nyumba yake ilikuwa upande wa ukuta, naye alikuwa akikaa ukutani.+