Zaburi 124:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.”+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+ Hosea 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hakika atakuharibu wewe,+ Ee Israeli, kwa sababu ilikuwa juu yangu, juu ya msaidizi wako.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+