Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Zaburi 119:82 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+ Zaburi 119:123 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Macho yangu yamedhoofika kwa ajili ya wokovu wako+Na kwa ajili ya neno lako la uadilifu.+ Zaburi 130:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nafsi yangu imemngojea Yehova+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Ambao wanaingojea asubuhi.+
82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+