Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 86:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Unitendee ishara inayomaanisha wema,

      Ili wale wanaonichukia wapate kuiona na kuaibika.+

      Kwa maana wewe mwenyewe, Ee Yehova, umenisaidia na kunifariji.+

  • Zaburi 102:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Usinifiche uso wako siku nitakayokuwa katika dhiki kali.+

      Utege sikio lako kwangu;+

      Siku nitakayoita, ufanye haraka, unijibu.+

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+

  • Isaya 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile mtu ambaye mama yake mwenyewe anaendelea kumfariji, ndivyo mimi nitakavyoendelea kuwafariji ninyi;+ na kuhusiana na Yerusalemu ninyi mtafarijiwa.+

  • 2 Wakorintho 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba+ ya Bwana wetu Yesu Kristo, Baba ya rehema+ nyororo na Mungu wa faraja+ yote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki