Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Isaya 43:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mimi ni Yehova Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+ Waefeso 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana sisi ni matokeo ya kazi yake+ na tuliumbwa+ katika muungano+ na Kristo Yesu kwa ajili ya matendo mema,+ ambayo Mungu alitutayarishia kimbele+ ili tutembee katika hayo.
3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
10 Kwa maana sisi ni matokeo ya kazi yake+ na tuliumbwa+ katika muungano+ na Kristo Yesu kwa ajili ya matendo mema,+ ambayo Mungu alitutayarishia kimbele+ ili tutembee katika hayo.