Zaburi 89:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ngao yetu ni ya Yehova,+Na mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.+ Yeremia 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Israeli na Yuda+ hawajafanywa wajane kutoka kwa Mungu wao, kutoka kwa Yehova wa majeshi.+ Kwa maana nchi ya hao imejawa na hatia machoni pa Mtakatifu wa Israeli.+
5 “Kwa maana Israeli na Yuda+ hawajafanywa wajane kutoka kwa Mungu wao, kutoka kwa Yehova wa majeshi.+ Kwa maana nchi ya hao imejawa na hatia machoni pa Mtakatifu wa Israeli.+