1 Mambo ya Nyakati 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake. Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Hagai 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Utukufu wa nyumba hii ya baadaye utakuwa mkubwa kuliko ule wa ile ya zamani,’+ asema Yehova wa majeshi. “ ‘Na katika mahali hapa nitawapa amani,’+ asema Yehova wa majeshi.” Wafilipi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.
9 “ ‘Utukufu wa nyumba hii ya baadaye utakuwa mkubwa kuliko ule wa ile ya zamani,’+ asema Yehova wa majeshi. “ ‘Na katika mahali hapa nitawapa amani,’+ asema Yehova wa majeshi.”
9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.