Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.

  • Zaburi 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+

      Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+

  • Hagai 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Utukufu wa nyumba hii ya baadaye utakuwa mkubwa kuliko ule wa ile ya zamani,’+ asema Yehova wa majeshi.

      “ ‘Na katika mahali hapa nitawapa amani,’+ asema Yehova wa majeshi.”

  • Wafilipi 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki