Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitasikia jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova atasema,+

      Kwa maana atasema amani kwa watu wake+ na kwa washikamanifu wake,

      Lakini wasirudi kujitumaini.+

  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye hakika atafanya hukumu kati ya mataifa+ na kunyoosha mambo+ kuhusu vikundi vingi vya watu.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+

  • Isaya 60:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Badala ya shaba nitaingiza dhahabu,+ na badala ya chuma nitaingiza fedha, na badala ya miti, shaba, na badala ya mawe, chuma; nami nitaweka amani kuwa waangalizi+ wako na uadilifu kuwa wagawa-kazi wako.+

  • Zekaria 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+

  • Yohana 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki