Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+

      Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+

  • Isaya 60:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, uporaji na mvunjiko ndani ya mipaka yako.+ Na hakika wewe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Mika 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye hakika atafanya hukumu kati ya vikundi vingi vya watu,+ na kunyoosha mambo+ kuhusu mataifa yenye nguvu yaliyo mbali.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Hawatainua upanga, taifa juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+

  • Mathayo 5:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+

  • Mathayo 26:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wale wote wanaouchukua upanga wataangamia kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki