3 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa mengi+
Na kunyoosha mambo kuhusiana na mataifa yenye nguvu yaliyo mbali.
Watafua panga zao ziwe majembe ya plau
Na mikuki yao iwe miundu.+
Taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine,
Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+