Isaya 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Katika siku hiyo+ wimbo huu utaimbwa+ katika nchi ya Yuda:+ “Tuna jiji lenye nguvu.+ Yeye anaweka wokovu kuwa kuta na boma.+ 1 Wakorintho 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yeyote akiliangamiza hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza yeye;+ kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,+ nanyi ni+ hekalu+ hilo. Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+
26 Katika siku hiyo+ wimbo huu utaimbwa+ katika nchi ya Yuda:+ “Tuna jiji lenye nguvu.+ Yeye anaweka wokovu kuwa kuta na boma.+
17 Yeyote akiliangamiza hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza yeye;+ kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,+ nanyi ni+ hekalu+ hilo.
19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+