Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+

      “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+

  • 2 Samweli 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+

  • Zaburi 146:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nitamsifu Yehova muda wote wa maisha yangu.+

      Nitampigia Mungu wangu muziki maadamu nipo.+

  • Zaburi 150:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Msifuni kwa matoazi yenye sauti tamu.+

      Msifuni kwa matoazi ya kugonganishwa.+

  • Isaya 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mpigieni Yehova muziki,+ kwa maana ametenda makuu.+ Hilo limetangazwa duniani kote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki