Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ 2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+ Zaburi 146:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamsifu Yehova muda wote wa maisha yangu.+Nitampigia Mungu wangu muziki maadamu nipo.+ Zaburi 150:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msifuni kwa matoazi yenye sauti tamu.+Msifuni kwa matoazi ya kugonganishwa.+ Isaya 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpigieni Yehova muziki,+ kwa maana ametenda makuu.+ Hilo limetangazwa duniani kote.
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+