Zaburi 150 Msifuni Yah!+Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu.+Msifuni katika anga la nguvu zake.+ 2 Msifuni kwa kazi zake zenye nguvu.+Msifuni kulingana na wingi wa ukuu wake.+ 3 Msifuni kwa kupiga baragumu.+Msifuni kwa kinanda na kinubi.+ 4 Msifuni kwa matari+ na kwa dansi ya mzunguko.+Msifuni kwa vinanda+ na zumari.+ 5 Msifuni kwa matoazi yenye sauti tamu.+Msifuni kwa matoazi ya kugonganishwa.+ 6 Kila kitu kinachopumua—na kimsifu Yah.+Msifuni Yah!+