1 Mambo ya Nyakati 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+ Zaburi 81:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika mwezi mpya, pigeni baragumu;+Katika mwezi mpevu, kwa ajili ya siku ya sherehe yetu.+ Zaburi 98:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu+Pigeni kelele za ushindi mbele za Mfalme, Yehova.
28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+