10 “Na katika siku ya kushangilia+ kwenu na katika majira yenu ya sherehe+ na mwanzoni mwa miezi yenu,+ mtapiga tarumbeta juu ya matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+
28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+
27 Ndipo Hezekia akasema dhabihu ya kuteketezwa itolewe juu ya madhabahu; na wakati lile toleo la kuteketezwa lilipoanza, wimbo+ wa Yehova ukaanza na pia tarumbeta, chini ya mwelekezo wa vyombo vya Daudi mfalme wa Israeli.