Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na katika siku ya kushangilia+ kwenu na katika majira yenu ya sherehe+ na mwanzoni mwa miezi yenu,+ mtapiga tarumbeta juu ya matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo Hezekia akasema dhabihu ya kuteketezwa itolewe juu ya madhabahu; na wakati lile toleo la kuteketezwa lilipoanza, wimbo+ wa Yehova ukaanza na pia tarumbeta, chini ya mwelekezo wa vyombo vya Daudi mfalme wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki