2 Mambo ya Nyakati 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha Hezekia akaagiza dhabihu ya kuteketezwa itolewe kwenye madhabahu.+ Dhabihu ya kuteketezwa ilipoanza kutolewa, wimbo wa Yehova ulianza na pia milio ya tarumbeta, kwa kufuata mwongozo wa ala za Mfalme Daudi wa Israeli.
27 Kisha Hezekia akaagiza dhabihu ya kuteketezwa itolewe kwenye madhabahu.+ Dhabihu ya kuteketezwa ilipoanza kutolewa, wimbo wa Yehova ulianza na pia milio ya tarumbeta, kwa kufuata mwongozo wa ala za Mfalme Daudi wa Israeli.