Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Zaburi 148:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+ Ufunuo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+
14 Naye ataiinua pembe ya watu wake,+Sifa ya washikamanifu wake wote,+Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.+Msifuni Yah!+
3 Na mara moja, kwa mara ya pili wakasema:+ “Msifuni Yah! Na moshi kutoka kwake unaendelea kupanda milele na milele.”+