Mwanzo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+ Zaburi 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Nalo anga linatangaza kazi ya mikono yake.+ Danieli 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+
3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.