Danieli 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na wale walio na ufahamu+ kati ya watu, watawawezesha wengi kuwa na uelewaji.+ Nao watakwazwa kwa upanga na kwa mwali wa moto, kwa kutekwa na kwa kuporwa,+ kwa siku fulani. Mathayo 13:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+
33 Na wale walio na ufahamu+ kati ya watu, watawawezesha wengi kuwa na uelewaji.+ Nao watakwazwa kwa upanga na kwa mwali wa moto, kwa kutekwa na kwa kuporwa,+ kwa siku fulani.
43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+