2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+
17 Na yule joka mkubwa akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke,+ naye akaenda zake kupigana vita na wale waliobaki wa uzao wake, wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi+ kumhusu Yesu.