Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Petro, akiwa amejazwa roho takatifu,+ akawaambia:

      “Watawala wa watu na wanaume wazee,

  • Matendo 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Paulo, wakati gavana alipomtolea ishara aseme, akajibu:

      “Kwa kujua vema kwamba wewe umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa miaka mingi, mimi ninasema kwa utayari katika kujitetea+ juu ya mambo yanayonihusu mimi mwenyewe,

  • Matendo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo, siku iliyofuata, Agripa na Bernike wakaja kwa fahari+ nyingi na kuingia katika chumba cha baraza pamoja na viongozi wa kijeshi na vilevile wanaume waheshimiwa katika jiji, na Festo alipotoa amri, Paulo akaingizwa ndani.

  • Matendo 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Paulo akasema: “Mimi sishikwi na wazimu, ewe Mtukufu Festo, bali ninasema maneno ya kweli na ya utimamu wa akili.

  • Matendo 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 akisema, ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na, tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki