11 Ikiwa, kwa upande mmoja, mimi ni mkosaji+ kwa kweli na nimefanya jambo lolote linalostahili kifo,+ sikatai kufa; ikiwa, kwa upande mwingine, hakuna hata moja la mambo hayo ambalo watu hawa wananishtakia, hakuna mtu anayeweza kunikabidhi kwao ili kupata kibali. Ninakata rufani kwa Kaisari!”+