Matendo 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+ Matendo 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini walipokuwa wakiondoka wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Mtu huyu hafanyi lolote linalostahili kifo+ au vifungo.”
29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+
31 Lakini walipokuwa wakiondoka wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Mtu huyu hafanyi lolote linalostahili kifo+ au vifungo.”