Matendo 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+ Matendo 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mimi nikaona hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Kwa hiyo mwanamume huyu mwenyewe alipokata rufani+ kwa Mheshimiwa, niliamua kumpeleka.
29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+
25 Lakini mimi nikaona hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Kwa hiyo mwanamume huyu mwenyewe alipokata rufani+ kwa Mheshimiwa, niliamua kumpeleka.