5 Kwa maana tumemwona mwanamume huyu kuwa mtu msumbufu+ na mwenye kufanya uchochezi wa uasi+ kati ya Wayahudi wote katika dunia yote inayokaliwa na kuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Wanazareti,+
19 Walikuwa tu na mabishano fulani pamoja naye kuhusu ibada+ yao wenyewe ya mungu na kuhusu mtu fulani anayeitwa Yesu aliyekuwa amekufa lakini ambaye Paulo alikuwa akisisitiza kwamba alikuwa hai.+