Matendo 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini kama ni mabishano juu ya maneno na majina+ na sheria+ kati yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo haya.” Matendo 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+
15 Lakini kama ni mabishano juu ya maneno na majina+ na sheria+ kati yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo haya.”
29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+