Matendo 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+ Matendo 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Walikuwa tu na mabishano fulani pamoja naye kuhusu ibada+ yao wenyewe ya mungu na kuhusu mtu fulani anayeitwa Yesu aliyekuwa amekufa lakini ambaye Paulo alikuwa akisisitiza kwamba alikuwa hai.+
29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+
19 Walikuwa tu na mabishano fulani pamoja naye kuhusu ibada+ yao wenyewe ya mungu na kuhusu mtu fulani anayeitwa Yesu aliyekuwa amekufa lakini ambaye Paulo alikuwa akisisitiza kwamba alikuwa hai.+