Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu. Matendo 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 wakawapeleka mpaka kwa mahakimu wa raia, wakasema: “Watu hawa wanasumbua+ sana jiji letu, wao wakiwa ni Wayahudi, Matendo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Walipowakosa wakamkokota Yasoni na akina ndugu fulani na kuwapeleka kwa watawala wa jiji, wakipaaza sauti hivi: “Watu hawa ambao wameipindua+ dunia inayokaliwa wapo hapa pia,
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.
20 wakawapeleka mpaka kwa mahakimu wa raia, wakasema: “Watu hawa wanasumbua+ sana jiji letu, wao wakiwa ni Wayahudi,
6 Walipowakosa wakamkokota Yasoni na akina ndugu fulani na kuwapeleka kwa watawala wa jiji, wakipaaza sauti hivi: “Watu hawa ambao wameipindua+ dunia inayokaliwa wapo hapa pia,