1 Wafalme 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+ Matendo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Walipowakosa wakamkokota Yasoni na akina ndugu fulani na kuwapeleka kwa watawala wa jiji, wakipaaza sauti hivi: “Watu hawa ambao wameipindua+ dunia inayokaliwa wapo hapa pia,
17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+
6 Walipowakosa wakamkokota Yasoni na akina ndugu fulani na kuwapeleka kwa watawala wa jiji, wakipaaza sauti hivi: “Watu hawa ambao wameipindua+ dunia inayokaliwa wapo hapa pia,