Matendo 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Paulo alipokata rufani+ awekwe kwa ajili ya uamuzi wa Mheshimiwa, nikaamuru awekwe mpaka nimtume kwa Kaisari.” Matendo 26:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Zaidi ya hayo, Agripa akamwambia Festo: “Mtu huyu angaliweza kufunguliwa kama hakuwa amekata rufani+ kwa Kaisari.” Matendo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini Wayahudi walipoendelea kusema vibaya juu ya jambo hilo, nililazimika kukata rufani+ kwa Kaisari, lakini si kana kwamba nilikuwa na jambo lolote la kushtaki taifa langu.
21 Lakini Paulo alipokata rufani+ awekwe kwa ajili ya uamuzi wa Mheshimiwa, nikaamuru awekwe mpaka nimtume kwa Kaisari.”
32 Zaidi ya hayo, Agripa akamwambia Festo: “Mtu huyu angaliweza kufunguliwa kama hakuwa amekata rufani+ kwa Kaisari.”
19 Lakini Wayahudi walipoendelea kusema vibaya juu ya jambo hilo, nililazimika kukata rufani+ kwa Kaisari, lakini si kana kwamba nilikuwa na jambo lolote la kushtaki taifa langu.