10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+
45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+