Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 apokee nidhamu+ ambayo humpa mtu ufahamu,+ uadilifu+ na haki+ na unyoofu,+

  • Isaya 32:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na macho ya wale wanaoona hayatafungamanishwa pamoja, na masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.+

  • Danieli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+

  • Mathayo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+

  • Mathayo 24:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki