Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Methali 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo utakapoelewa uadilifu na hukumu na unyoofu, njia yote ya yaliyo mema.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+