Zaburi 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unitakase kwa hisopo kutokana na dhambi, ili nipate kuwa safi;+Unioshe, ili nipate kuwa mweupe kuliko theluji.+ Ezekieli 36:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+
7 Unitakase kwa hisopo kutokana na dhambi, ili nipate kuwa safi;+Unioshe, ili nipate kuwa mweupe kuliko theluji.+
25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+