Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ndipo kuhani atatoa amri; naye atachukua ndege wawili walio safi+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo+ ili kujitakasa.

  • Hesabu 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo mtu aliye safi+ atachukua hisopo+ na kuichovya ndani ya maji yale na kuyatapanya juu ya hema na vyombo vyote na nafsi zote zilizokuwa hapo na juu ya yule aliyegusa mfupa au mtu aliyeuawa au maiti au kaburi.

  • Waebrania 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki