4 ndipo kuhani atatoa amri; naye atachukua ndege wawili walio safi+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo+ ili kujitakasa.
18 Ndipo mtu aliye safi+ atachukua hisopo+ na kuichovya ndani ya maji yale na kuyatapanya juu ya hema na vyombo vyote na nafsi zote zilizokuwa hapo na juu ya yule aliyegusa mfupa au mtu aliyeuawa au maiti au kaburi.
14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?