11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+
6Kwa sababu hiyo, kwa kuwa sasa tumeliacha fundisho la msingi+ juu ya Kristo,+ na tusonge mbele kuelekea ukomavu,+ tusiweke msingi tena,+ yaani, kutubu matendo yaliyokufa,+ na imani kwa Mungu,+