1 Wakorintho 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa hiyo, akina ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho,+ bali kama watu wa kimwili, kama watoto+ katika Kristo. Waebrania 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu+ kwa sababu ya wakati, ninyi mnahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi+ ya maneno matakatifu ya Mungu;+ nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu.+
3 Na kwa hiyo, akina ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho,+ bali kama watu wa kimwili, kama watoto+ katika Kristo.
12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu+ kwa sababu ya wakati, ninyi mnahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi+ ya maneno matakatifu ya Mungu;+ nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu.+