Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.

  • Waroma 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+

  • 1 Petro 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama yeyote akisema, na aseme kana kwamba ni maneno matakatifu+ ya Mungu; kama yeyote akihudumu,+ na ahudumu kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu+ na nguvu ni zake milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki