Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+ Zaburi 147:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,+Na Israeli masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu.+ Matendo 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.
8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.