Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 111:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

      ש [Sin]

      Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+

      ת [Taw]

      Sifa yake inasimama milele.+

  • Methali 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na hivyo upate kibali na ufahamu mzuri machoni pa Mungu na machoni pa mtu wa udongo.+

  • Danieli 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale walio na ufahamu+ kati ya watu, watawawezesha wengi kuwa na uelewaji.+ Nao watakwazwa kwa upanga na kwa mwali wa moto, kwa kutekwa na kwa kuporwa,+ kwa siku fulani.

  • Danieli 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.

  • 1 Yohana 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki