33 Na wale walio na ufahamu+ kati ya watu, watawawezesha wengi kuwa na uelewaji.+ Nao watakwazwa kwa upanga na kwa mwali wa moto, kwa kutekwa na kwa kuporwa,+ kwa siku fulani.
3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+