Luka 2:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+ 2 Wakorintho 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+
52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+
21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+