10 Lakini, mkiisha kuteseka kitambo kidogo,+ Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa, aliyewaita ninyi kwenye utukufu wake wa milele+ katika muungano+ na Kristo, yeye mwenyewe atamaliza mazoezi yenu, atawafanya ninyi kuwa imara,+ atawafanya ninyi kuwa wenye nguvu.+