Zaburi 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka. 2 Petro 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;
7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka.
5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;