-
Ayubu 38:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na ni nani aliyeizuia bahari kwa milango,+
Iliyoanza kwenda kama katika wakati ilipotoka katika tumbo la uzazi;
-
Yeremia 5:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 ‘Je, hata hamniogopi mimi,’+ asema Yehova, ‘au, je, hata hamna maumivu makali kwa sababu yangu,+ ambaye nimeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, sharti linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kwamba haiwezi kuvuka? Ingawa mawimbi yake husukasuka, bado hayawezi kushinda; na ingawa huchafuka, bado hayawezi kuuvuka.+
-
-
-