Ayubu 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+ Zaburi 104:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Milima ikapanda juu,+Nchi tambarare za mabonde zikashuka chini—Mpaka mahali ulipoyawekea msingi wake. Zaburi 136:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yule anayeitandaza dunia juu ya maji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+
8 Milima ikapanda juu,+Nchi tambarare za mabonde zikashuka chini—Mpaka mahali ulipoyawekea msingi wake.
6 Yule anayeitandaza dunia juu ya maji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+