Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Alipozitayarisha mbingu nilikuwako;+ alipoagiza mviringo juu ya uso wa kilindi cha maji,+

  • Isaya 40:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kuna Yeye anayekaa juu ya mviringo wa dunia,+ ambayo wakaaji wake ni kama panzi, Yeye anayetandaza mbingu kama shashi bora, anayezitandaza kama hema la kukaliwa ndani,+

  • Yeremia 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ‘Je, hata hamniogopi mimi,’+ asema Yehova, ‘au, je, hata hamna maumivu makali kwa sababu yangu,+ ambaye nimeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, sharti linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kwamba haiwezi kuvuka? Ingawa mawimbi yake husukasuka, bado hayawezi kushinda; na ingawa huchafuka, bado hayawezi kuuvuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki