Mwanzo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+ Ayubu 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Amechora mviringo juu ya uso wa maji,+Mpaka mahali ambapo nuru huishia katika giza.
6 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na anga+ kati ya hayo maji na mtengano uwepo kati ya maji na maji.”+