Ayubu 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Amechora mviringo juu ya uso wa maji,+Mpaka mahali ambapo nuru huishia katika giza. Ayubu 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+ Zaburi 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka. Zaburi 104:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uliweka mpaka, yasiupite,+Ili yasiifunike dunia tena.+ Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+
11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+
7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka.