Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Amechora mviringo juu ya uso wa maji,+

      Mpaka mahali ambapo nuru huishia katika giza.

  • Ayubu 38:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikaweka sharti langu juu yake

      Na kuweka pingo na milango,+

  • Zaburi 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+

      Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka.

  • Methali 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+

  • Yeremia 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ‘Je, hata hamniogopi mimi,’+ asema Yehova, ‘au, je, hata hamna maumivu makali kwa sababu yangu,+ ambaye nimeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, sharti linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kwamba haiwezi kuvuka? Ingawa mawimbi yake husukasuka, bado hayawezi kushinda; na ingawa huchafuka, bado hayawezi kuuvuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki